Wednesday, August 3, 2016
DARAJA LAKATIKA INDIA KUFUATIWA MAFURIKO
Posted by sheila simba on 1:52 PM in KIMATAIFA | Comments : 0
watu 22 wahofiwa kupoteza maisha kufutiwa kuanguka kwa daraja nchini India kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mto Savitri,Naibu kamanda wa polisi Rakesh Ranjan amesema daraja hilo lilijengwa kipindi cha ukoloni.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment