Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Mkurugenzi wa fedha kutoka Kanda Maalum ya kiuchumi nchini Gabon, Ndg. Aashutosh Agarwal (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Kata ya kivukoni, Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam Ndg. Sharik Choughule.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
Post a Comment